Thursday 11 February 2010

usilo lijua usiku wa kiza

day five.usilo lijua ni usiku wa kiza.msemo huu kawngu umekuja baada ya kupata faraja ktk taaluma niloipata kupitia somo la matumizi ya blogger.kiasi flani yamenipa mwangaza wa kuchati zaid ktk kujiendeleza ktk matumizi ya compuyuter kupitia kwenye internet'kawaida ya matumizi ya compuyuter yanahitaji uzalendo kwani ukiwa mwenye kuridhika na ulipo pata basi hutofaidika ila cha msingi ni kujiendeleza zaid kila siku kwa kutafuta vitu mbali mbali.ushauri wangu tuendelezwe zaid kitaaluma tulopata imesaidia lkn haijatutesheleza.asante sana.

No comments:

Post a Comment